KIKOTI EDUCATION CENTRE

KIKOTI EDUCATION CENTRE

Alhamisi, 25 Mei 2017

Tangazo kwa walioomba ajira KIKOTI EDUCATION CENTRE

Uongozi wa Kikoti Education Centre kwa unapenda kuwaataarifu walimu wote walioomba kufundisha katika kituo chetu cha elimu kwamba tumeshapokea maombi yenu na kutokana na wingi wa maombi kikoti uongozi unaendelea kuchambua maombi ya walioomba ili kuita katika usahili watu sahihi
Taarifa za kuitwa kwenye usahiri zitatolewa kupitia email mlizozitumia wakati mkiomba siku ya tarehe 27/06/2017 ili kujiandaa kwa interview tarehe 29/06/2017.
Taarifa imetolewa kwenu na mtaaluma Mwandamizi
mbalale@gmail.com au 0716514556- mwl mbalale
asanteni 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni